BLAC CHYNA NA ROB SASA MAMBO YOTE ATHALANI

BLAC Chyna akiwa na mpenzi wake Rob Kardashian.
BLAC
 Chyna na mpenzi wake Rob Kardashian wanafuraha sasa baada ya mwishoni 
mwa wiki iliyopita kuonekana wakiwa pamoja ‘beach’ huku wakicheza pamoja
 michezo mbalimbali huko Los Angeles.
Rob
 ambaye ni kaka wa mastaa wakubwa wa kike Kim, Kourtney na 
KhloeKardashian,amekuwa akipingwa huku Chyna naye akipokea matusi 
kupitia mtandaoni kutok akwa familia hiyo kutokana na kuingia kwenye 
uhusiano na modo huyo.
Katika
 kuonyesha kuwa mapenzi hayaingiliwi,wawili hao wamekuwa pamoja mara 
nyingi na kitendo cha kwenda mtoko wa pamoja na kuonekana wakicheza 
michezo mbalimbali huku wakipigana picha,kinaonyesha kuwa wapo kwenye 
uhusiano ‘siriaz
0 comments: