JItume Mama: Zari The Lady Boss Awakosha Mashabiki wa Penzi lake na Diamond Kwa Picha Hizi

Zari the Boss Lady ‘Mama Tiffah’ amewakosha mashabiki wa 
penzi lake na Diamond ‘Baba Tiffah’ baada ya kubandika picha zake akiwa 
kijijini kwao pamoja na watoto wake na kuonekana anafanya kazi zote zan 
nyumbani kitendo ambacho kimewafanya mashabiki kumwagia sifa kuwa ni 
mwanamke anayeyaweza maisha yote tofauti na wengi walivyokuwa 
wakimfikiria hapo zamani.
Katika kunogesha Zari ame-edit picha ya diamond na kujiweka , kisha kaiweka na kuandika;
 
 
0 comments: